WanaJF habari za mishemishe.
Naomba nifahamu kuhusu ratiba ya chanjo ya kuku wa mayai tangu kuwa vifaranga hadi mwisho wao.
Ikiwezekana naomba nipate rafiki wa karibu wa kunishauri juu ya ufugaji huo.Plz through PM tuwacliane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.