Kuku wa nazi

Kuku wa nazi

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,486
Reaction score
51,156
Mahitaji:
1. Kuku aliyeandaliwa

2. Tui la nazi

3. Kitunguu thomu

4. Kitunguu maji

5. Pilipili mboga

6. Pilipili manga/mbuzi
karoti

Upishi:
Mchemshe kuku wako na uweke pilipili mbuzi, na kitunguu swaumu na chumvi kisha saga karoti, kitunguu maji, pilipili mboga pamoja, kuku akianza kuwiva tia mchanganyiko wako hapo juu kisha subiri kidogo utie tui la nazi acha ichemke dakika tano na tayari kwa kuliwa waweza kutumia majani ya giligilani kwa harufu murua.

TIPS: Usichemshe kuku na maji mengi sana.
 
Back
Top Bottom