Kuku wa nyama-msaada tafadhali

Kuku wa nyama-msaada tafadhali

MimiT

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
599
Reaction score
388
Nataka kuanza kufuga kuku soon. Nina plan kuanza na kuku wa nyama coz mtaji nilionao sio mkubwa sana. Naomba kujulishwa nikiwa kama na mil 2 hivi inatosha kwa miezi yote 6? Hiyo mil 2 ni pamoja na kujenga banda. Nina imani nitapata mawazo mazuri kutoka kwenu
 
Nijibuni basi ndugu zangu wafugaji...
 
Inategemea unajenga banda la sh ngapi?kwa kawaida kuku 200 wanakula mifuko ya chakula 9 hadi kuuza.kila mfuko ni kati ya sh 40000 -43000 kutegemeana na chakula kinatoka wapi.Ila kizuri ni Falcon au Nasaad. Kuku 300 wanatumia mifuko 15 hadi unauza na kifaranga kimoja kinaunzw kati ya sh 1200-1500.madawa weka kati ya sh 40000 -50000.hapo waweza piga mahesabu.hope utapata angalau mwanga.
 
Back
Top Bottom