Magonjwa ya kuku yapo mengi jambo la msingi na la kufanya kwako , kwanza hakikisha unawatambua viranga wanaoumwa ama wenye ugonjwa kisha watenge, mfano wa magonjwa ya viranga na dalili zake....1/ KIDERI dalili zake i/ kukohoa, kupumua kwa shida, ii/ mwili kukosa nguvu, iii/ shingo kujikunja, iv/ kuharisha kijani v/ kuku hufa wengi TIBA ZAKE... Chanja katika juma lao la kwanza , na chanjo ya pili wanapofikisha umri wa miezi 4 na nusu. 2.