Poleni na majukumu wakuuu nafuga Kuku wanyama lakin hadi kufikia Leo wana wiki ya nne maendeleo yao sio mazuri kwa kifupi wamedumaaa nilikuwa nawapatia chakula cha CPF lakini hawakui kama mashamba mengne yanavyo kuwa pia natumia vitastress kama vitamin msaada wakuuu na mungu awabariki
Daah arafu mtaji umekopa daah ajira nayo ngumu daah
Kuna sababu nyingi zinaweza kufanya kuku wadumae.
1. Aina ya vifaranga wenyewe, kuna wengine hawakui vizuri hata ukiwalisha vipi.
2. Chakula kama hakina mchanganyiko mzuri hata kama ni cha kununua si cha kutengeneza inaweza kuleta hali kama hiyo.
3. Hali ya hewa hasa baridi mara nyingi inawafanya kuku wasiwe confortable.
Mkuu hebu weka picha tuone...
Ila wanaweza wakawa wamebanana nafasi ikawafanya wasikue vizuri,
Feeders chache so wanaokula ni wachache wenye nguvu..
Unawapunja chakula..Au wana minyoo.
Wanapigwa na baridi,upepo hivyo kuwafanya wasiwe comfortable kula vizuri..
Vifaranga wakati mwingine vinaweza vikawa vibaya tokea vilipototolewa kiwandani...So hakuna namna.
NB; Kachukue mtaalamu wa karibu atembelee unapofugia anaweza akawa na jibu sahihi zaidi.
nashukuru mkuuu wamefanikiwa kubadilikaKuna sababu nyingi zinaweza kufanya kuku wadumae.
1. Aina ya vifaranga wenyewe, kuna wengine hawakui vizuri hata ukiwalisha vipi.
2. Chakula kama hakina mchanganyiko mzuri hata kama ni cha kununua si cha kutengeneza inaweza kuleta hali kama hiyo.
3. Hali ya hewa hasa baridi mara nyingi inawafanya kuku wasiwe confortable.