mumuma
Member
- Aug 20, 2018
- 56
- 154
Ninamradi Wa kufuga Kuku Wa kienyeji,tatizo kila wanapotaga hawatotosoe mayai yote,mfano unakuta ametaga mayai 10 akija kutotosoa labda vifaranga 2 au 3,nanikijaribu kuyapasua yaliyobaki nayakuta na vifaranga,Na nitajuaje yai lenye kifaranga ndani na lisiro na kifanga pindi Kuku anapokuwa ametoka kulitaga?