Ushauri kuntu
Huwa inasaidia nn mkuu?Weka chumvi kwenye chombo wanachotumia kuatamia pindi tu wanapoanza kuatamia.
Kuuwa wadudu....
Nmechelewa kuuona huu uzi lkn nachangia tu kwa matumizi ya baadae. Kulingana na uzoefu wangu kuku kutotoa vifaranga wachache inaletwa na mambo yafuatayo:Ninamradi Wa kufuga Kuku Wa kienyeji,tatizo kila wanapotaga hawatotosoe mayai yote,mfano unakuta ametaga mayai 10 akija kutotosoa labda vifaranga 2 au 3,nanikijaribu kuyapasua yaliyobaki nayakuta na vifaranga,Na nitajuaje yai lenye kifaranga ndani na lisiro na kifanga pindi Kuku anapokuwa ametoka kulitaga?