Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habari za Jamiiforums.
Kuku wangu wengi wameanza kuugua mafua, na kufa kwa haraka,
Sijui wamekula nini?
tangu tarehe 2/2/14 kila siku kwenye banda ninakuta kuku aliyekufa"
Msaada wa haraka Jf Banda halijamalizika!!
Kuku wangu wengi wameanza kuugua mafua, na kufa kwa haraka,
Sijui wamekula nini?
tangu tarehe 2/2/14 kila siku kwenye banda ninakuta kuku aliyekufa"
Msaada wa haraka Jf Banda halijamalizika!!