Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #41
Wewe Nyani, unamaanisha kuku ndege wa kweli au una maana kuku mwingine????? Kama ni kuku mwingine kala mtama wa jirani, mwambie naye amwachie kuku wake ale mtama wako. Hapo mtakuwa ngoma droo na kutakuwa hakuna kupelekana mahakamani tena!! Kama ungekuwa muwazi ukafafanua kwamba ni "jogoo" lako ndilo limekula mtama wa jirani ningekuelewa vizuri zaidi.
kama sio bold,itakuwa storm! should i shoot?
<br />
<br />
kama sio bold,itakuwa storm! should i shoot?
<br />
<br />
<br />Yeye NN hana mtama, ana kuku. Umemfahamu King'asti?<img src="images/smilies/coffee.gif" border="0" alt="" title="Coffee" smilieid="47" class="inlineimg" />
<br />You just talk, talk talk....<br />
<br />
I dare you to shoot.
<br />ooh c'mon dont pull the triger yet....
<br />Kumbe wewe mkatili hivyo.
<br />
<br />
Wala basi fanya hivi chukua huyo kuku muangaliane machoni utapata jibu
NN, Ungekuwa Mdada ningesema kuwa unamaana kuwa Shemej kamega maeneo ya Jiran,sasa kwa kuwa wewe ni Mzee mwenzangu,napata Picha kuwa yule kijana wetu katia Mimba mtoto wa Jiran na jiran ndo kalianzisha Tayar kishar shar,J5 tumeet Calabash,nikupeleke Kwa Wataalam wamfunge huyo Jiran mawazo yakeJamani eeh naombeni msaada. Kuku wangu kala mtama wa jirani sasa jirani kaja juu. Anataka anipeleke mahakamani. Msaada jamani.
<br />Mahakama zinahukumu kuku?
NN, Ungekuwa Mdada ningesema kuwa unamaana kuwa Shemej kamega maeneo ya Jiran,sasa kwa kuwa wewe ni Mzee mwenzangu,napata Picha kuwa yule kijana wetu katia Mimba mtoto wa Jiran na jiran ndo kalianzisha Tayar kishar shar,J5 tumeet Calabash,nikupeleke Kwa Wataalam wamfunge huyo Jiran mawazo yake
Nitakuwa wakili wa huyo kuku, peleka mahakamani.
<br />
<br />
zinahukumu. Juzi tu hapa nimetoka kusikiliza kesi ya kuku na jamaa flani hivi. Kuku alishinda.
Naomba kujua kama ni kuku wa kienyeji, wa kidhungu, kishingo au mabata maana???
Mwambie jirani asilete za kuleta..
Anaelewa kuna ndege angani, kuna
Kuku mitaani, na sasa ni kiangazi ..
Ndege, kuku etc walioshiba watapita ..
Walio na nja, wanaotaka akiba na
walaku lazima wata donoa donoa
Ukiwa mtam, rahisi kumze hawawezi acha..
Nawe uanze kumlisha kukuwako vema
Ukiweza mzuie asiende nyumba ya pili.