[emoji2] [emoji23] [emoji23] aiseePunguza tu chokaa kwa chakula yake
Mkuu za kitambo!Salmonellosis ambayo yaweza kuwa fowl typhoid au fowl paratyphoid...
Dawa nzuri wape amprolium au dawa yoyote ya sulfur watakuwa sawa..
Nakataa Salmonellosis hawanyi mavi meupe. Amesema wanakunya sio kuharisha sawa??Salmonellosis ambayo yaweza kuwa fowl typhoid au fowl paratyphoid...
Dawa nzuri wape amprolium au dawa yoyote ya sulfur watakuwa sawa..
Mkuu za kitambo!
Samahani natoka nje ya mada kidogo!
Hivi ni kweli utotoreshaji wa mayai kwa incubator unaaridhiriwa na umbali!
Kuna mtu ameniambia hivo kwamba Eti ukisafirisha kiini kinajichanganya ko haliwezi kutotolewa!
Hili ni kweli?
Nakataa Salmonellosis hawanyi mavi meupe. Amesema wanakunya sio kuharisha sawa??
Aksante. Sisi ni wafugaji hivyo tunafuatilia kwa makini kilio chochote kinachohusu kuku. Tusije pigikaitakuwa ni typing error hiyo mkuu...
So ondoa hofu...
Aksante. Sisi ni wafugaji hivyo tunafuatilia kwa makini kilio chochote kinachohusu kuku. Tusije pigika
Daaaa asante sana Mkuu! Nadhani unakumbuka kipindi nilikua nakuuliza maswali mengi sana kwenye ule Uzi wako!Kwema mkuu, kwa ufupi tu hakuna athari yoyote itakayopelekea mayai kutokuanguliwa cha msingi tu ni kuzingatia kanuni zote za utotoleshaji...
Kama umeingia kwenye industry hiyo naweza kukuwezesha na document nzuri tu ambayo itakuongoza vyema ili kuepuka kupoteza mayai katika incubator yako....