Kukua kwa biashara yangu

Defunk

Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
29
Reaction score
30
Naomba ushauri watanzania wenzangu Mimi.nafanya biashara ndogo ndogo. Kama kuuza matunda,mbogamboga,lakini mtaji wangu haukui naona kipato ninacho pata kinaishia kununulia vitu vya kigenge changu..naombeni ushauri nifanye nini ili niweze kuongeza uchumi wangu
 
Ukiona hiyo jua unaishi zaidi ya kipato chako. Kama unapata faida elf5 bas inabidi kwa siku utumie elf2
 
Ktk biashara yako nunua baiskeli fanya home delivery usingojee mtej afate bidhaa bali mpelekee bidhaa walau ya kuanzia sh.5000bure ktk mazingira yanayokuzunguka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…