Kukuweka mkono kwenye nyeti

Vaislay

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,532
Reaction score
1,829
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
 
mganga alimwambia akishika nyeti zake utamkubalia hahahaa huo wote ni woga tuuuuu
 
Mkuu wewe unakaa wapi?,
Duh hii kitu sijawahi kuona mtu anafanya, labda ni etiquette za ajabu huko kwenu unapoishi.
In short sio ustaarabu kabisa
 
Reactions: BAK
Mmm,hiyo kali huyo bwana anaefanya hivyo ni mshenzi watabia beu fikiri kesha fanya hivyo mara ngapi kabla hajakufikia,na wala hajaosha mikono yake.hiyo inaelekea ni style yao peke yao hao washagoo.
 
Mkitongozwa na watu wa uwanja wa fisi
ndo matokeo yake hayo lol
 
ebo..embu ieleze vizuri ..this is new to me..inaweza ikawa applicable.

Me too!!

Hivi wababa (means wameoa) kama wana adabu na wanaheshimu ndoa zao na jamii watafanya biashara ya kutongoza tongoza njiani kama teens? Halafu mambo yakianza kuharibika atakimbilia kuweka mkono mfukoni?

Mtu wa namna hiyo hasitahili kupewa hata shikamoo....achia mbali kumpa hata sekunde moja ya kumsikiliza!
 
Isije kuwa huyu dada katongozwa na vichaa lol
 
Hiii mpya..

Dahhh
nilivyoona kichwa cha thread
Nilidhani ni ile unamuona mwanaume
Barabarani atatembea kiupande upande
Halafu anavuta dudu lake chini hivi.. halafu
Ndo sasa ataanza kutembea vema..
Kuna mwingine alivuta dudu kanisani..
Nini tu jamani.. kuvuta vuta ..??

Haiumii?? Maana ya onekana mnatumia energy dahhhhhh poleni
 
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?

ninyi si huwa mnalalamikia size? sasa jamaa anataka upime mwenye kabsaa!!
 
Siku nyingine akikufanyia hivyo mbinye map¤¤¤¤, halafu utuletee feedback...
 
HApo bibie umenichosgha kabisaaaa. hivi kanisani tunakaa tukiwa tunamwangalia mchungaji au tunaangaliana? ushanunua kesi ..macho yako unayawekaga wapi ukiwa kanisani?
 
Mkuu, hii ni mpya kwangu, utafiti wako umejuisha watu wangapi?
Wanaume wengi wa sikuhizi hasa wababa.akiwa anataratibu za kutaka kukutongoza ukikutananae njian anakusalimia kwa mkono afu anauvutia mkono wako kwenye nyet zake..ndo nin sasa?
 
Huyo hajiamini. Kwani kama anatongoza si inajulikana kuwa hiyo kitu ipo. Sasa kupeleka mkono huko ana maana gani. Ushamba tuu huo
 
HApo bibie umenichosgha kabisaaaa. hivi kanisani tunakaa tukiwa tunamwangalia mchungaji au tunaangaliana? ushanunua kesi ..macho yako unayawekaga wapi ukiwa kanisani?
Mmhhhh bwana mbona tulikubalianaMie na we ugomvi ni chumbani tu twanganeHuko mtu asisikie.. make up #*!.... tukitoka Hapo bafuni then jikoni..Nway si utani kuna mtu alikuwaanaenda kutoa sadaka.. kaanza kuji vuta vuta Kabla hajatembea mbele. ... ni matatizo Au ni kawaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…