Kukuweka mkono kwenye nyeti

Huu uchunguzi wako! Loh! Tatizo ni jinsi umekuwa unaharibu sara zako maana kumbe kanisani huku una imajini maumbile ya kiume.

Kweli hujawahi kuyavuta kwa niaba yake?

hahahahah lohh
weee ni ule wakati wa sadaka tu
chop chop halafu alitembea mbele...

Khaaa mimi simjui kwa hiyo
siwezi vuta kwa niaba yake..
especially kanisani huwezi fanya hivyo...
 
Yaani jamaa ndiyo nataka kuweka wazi kila kitu, kwamba lengo lake ni ku-do, lol!
 

Kweli hili dada yetu linakukera sana. Nakuona mara ya pili, ukilikemea kwa nguvu. Lakini najua kuna sehemu yako unapoweza ku-test!

Lakini, kutembea kiupande upande, hapo ogopa kuna mzigo usije ukasahau under kwenye nyasi. Kuvuta huenda ni uzembe wa kutumia pesa kidogo kupata quality under, isiyokwepa maumbile.
 
hii kali kwangu labda unakuta akitaka kumtongoza msichana wa mtu mzee mzima anasimama halafu unakuta ni kichaka kizito kwa hiyo akiamka si unajua anagusa kichaka anaanza kuwashwa nafikiri ni sababu. maana hata diva aliwaponda wanaume wengi hatunyoi na vitu vingine kibao. ha ha ha ha ha ha lol
 
hahaha sasa wewe sii unashikishwa rungu bana ili upate feel ya ndude hahaha
 
mmmhh wanaoshangaa mnashangaa nini wakati wengi wenu mnafanya khaaa nadhani inabidi tuu mjirekebishe we mtoa mada mwanaume asiyeweza kukutongoza mpaka amekushikisha dudu yake we achana nae ok,, period!!!!!! all he wants is just sex!!!! nawasilisha
 
wanaliita DUDU!nani?
wanaliita DUDU!nani?
DUDU DUDU DUDU!
 
Ha ha ha! Jibu rahisi upime size ya mkuyuti kama utavutiwa nao au vp.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…