baba anjela
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 431
- 310
Ukiangalia soka letu la leo kweli vijana wanaonyesha uwezo mkubwa ila naamini wapo wengi zaidi ila wanakosa nafasi ya kuonekana, mashindano ya mikoa yalisaidia sana vijana wengi kuonyesha vipaji vyao,
Leo timu nyingi za ligi kuu zinaingia gharama kubwa kusajili wachezaji kutoka nchi mbalimbali, naamini kabisa vipaji vingi vinakufa bila kujulikana
Mashindano ya mikoa kama yakirudishwa yangeleta mapinduzi makubwa katika soka letu
Leo timu nyingi za ligi kuu zinaingia gharama kubwa kusajili wachezaji kutoka nchi mbalimbali, naamini kabisa vipaji vingi vinakufa bila kujulikana
Mashindano ya mikoa kama yakirudishwa yangeleta mapinduzi makubwa katika soka letu