Kukwama kwa Treni ya SGR na stori za kuhujumiwa

Kukwama kwa Treni ya SGR na stori za kuhujumiwa

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2023
Posts
441
Reaction score
1,065
Kwa watu waliowahi kusafiri na treni ya umeme toka ianze safari zake watakubaliana na mimi kuwa kwa hakika ni mradi mkombozi katika safari za haraka.

Ticketi yako ikionyesha unatoka Morogoro saa 12:30 asbh na kufika Dsm saa 2:01asbh yaani unafika muda huo huo uliondikwa. No delaying!

Hii kwama kwama ya mara kwa mara inaweza kutoa taswira mbaya sana kwa wafanyakazi wa treni hii.

Katika shirika lililotakiwa kuwa makini sana basi TRC walitakiwa kuwa macho muda wote kwasababu wanawashindani wengi kibiashara na wenye nguvu ambao wanaweza kutumia mbinu yoyote kuhujumu shirika hili.

Watanzani tuweni seriasi katika kusimamia vitu vyenye maendeleo kwa nchi yetu hakuna mtu atakuja kutuendelezea hii nchi
 
Kwa kuwa reli ni mkoa kipolisi basi hili hujuma tulirudishe kwa ndugu zetu wa usalama wa raia na mali zao.
 
Kwa watu waliowahi kusafiri na treni ya umeme toka ianze safari zake watakubaliana na mimi kuwa kwa hakika ni mradi mkombozi katika safari za haraka.

Ticketi yako ikionyesha unatoka Morogoro saa 12:30 asbh na kufika Dsm saa 2:01asbh yaani unafika muda huo huo uliondikwa. No delaying!

Hii kwama kwama ya mara kwa mara inaweza kutoa taswira mbaya sana kwa wafanyakazi wa treni hii.

Katika shirika lililotakiwa kuwa makini sana basi TRC walitakiwa kuwa macho muda wote kwasababu wanawashindani wengi kibiashara na wenye nguvu ambao wanaweza kutumia mbinu yoyote kuhujumu shirika hili.

Watanzani tuweni seriasi katika kusimamia vitu vyenye maendeleo kwa nchi yetu hakuna mtu atakuja kutuendelezea hii nchi
Hujuma gani ? Maana always ni issue gird taifa....sio ngedere wala bundi anymore...tujipange na Grid yeru hakuna mchawi hapooo
 
Sahihi kabisa. Moja ya sifa kuu ya KWANZA ya SGR iliyokuwa inaitofautisha na huduma zingine za usafiri ilikuwa uhakika wa muda treni inapoondoka na inapofika. Wangetakiwa kuilinda sifa hiyo kwa nguvu zote.

Speed ni suala la pili ila ni ngumu kuhujumu speed ya treni maana siyo suala rahisi kuchezewa na wafanyakazi ila MUDA wa kuondoka na kufika ni kipengele cha kwanza. Wakikipoteza hicho watapoteza advantage moja kubwa waliyonayo.
 
Nachopendea SGR hukutani na wale wajinga wajinga wa sijui zebra, wrong overtaking, 50 kph, sijui upuuzi gani.
 
Watanzani tuweni seriasi katika kusimamia vitu vyenye maendeleo kwa nchi yetu hakuna mtu atakuja kutuendelezea hii nchi
Ubaya ni kwamba, wenye mamlaka na wapigaji wote huwa hawadhani kuwa wao ni "wa hapa hapa"

Busy kuharibu mipango na maendeleo ya kweli kwa umma ili wajaze matumbo yao.

Ajabu sasa, wanajipelekaga kutibiwa nje huko, wanarudishwa kama CARGO tu!

TRC kufeli kwenye SGR ni ishara wazi jinsi gani UTAWALA ulivyofeli kusimamia mambo ya msingi na yaliyoligharimu taifa!
- Kataeni mkubali, upuuzi huu usingekuwepo enzi zile.
 
Kwa watu waliowahi kusafiri na treni ya umeme toka ianze safari zake watakubaliana na mimi kuwa kwa hakika ni mradi mkombozi katika safari za haraka.

Ticketi yako ikionyesha unatoka Morogoro saa 12:30 asbh na kufika Dsm saa 2:01asbh yaani unafika muda huo huo uliondikwa. No delaying!

Hii kwama kwama ya mara kwa mara inaweza kutoa taswira mbaya sana kwa wafanyakazi wa treni hii.

Katika shirika lililotakiwa kuwa makini sana basi TRC walitakiwa kuwa macho muda wote kwasababu wanawashindani wengi kibiashara na wenye nguvu ambao wanaweza kutumia mbinu yoyote kuhujumu shirika hili.

Watanzani tuweni seriasi katika kusimamia vitu vyenye maendeleo kwa nchi yetu hakuna mtu atakuja kutuendelezea hii nchi
Ubaya ni kwamba, wenye mamlaka na wapigaji wote huwa hawadhani kuwa wao ni "wa hapa hapa"

Busy kuharibu mipango na maendeleo ya kweli kwa umma ili wajaze matumbo yao.

Ajabu sasa, wanajipelekaga kutibiwa nje huko, wanarudishwa kama CARGO tu!

TRC kufeli kwenye SGR ni ishara wazi jinsi gani UTAWALA ulivyofeli kusimamia mambo ya msingi na yaliyoligharimu taifa!
- Kataeni mkubali, upuuzi huu usingekuwepo enzi zile.
Hii ya juzi inahusiana na gridi ya Taifa?
Sababu za kiufundi....!!
Mambo ya serikali ndivyo yalivyo...


Cc: Mahondaw
"Black people are not complete human beings because they don't have a good brain to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Back
Top Bottom