Kukwepa kutumia miwani

Kukwepa kutumia miwani

Simplelady

Member
Joined
Oct 26, 2009
Posts
44
Reaction score
22
Hivi jamani kuna dawa ya kusafisha macho yaweze kuona vizuri hasa mbali bila kutumia miwani.
 
Kunywa juice ya karoti na ya mchicha wa kienyeji.
 
Kunywa juice ya karoti na ya mchicha wa kienyeji.

Hii inasaidia zaid katika kuzuia tatizo au nakosea?
Macho yakishaharibika na kufikia kiwango cha kuhitaji msaada WA MIWANI huna jinsi.Ukitaka kukwepa kuvaa miwani basi unahitaji kufanyiwa laser surgery.... ila hii operation ni delicate na ni recent development haina hata miaka 15 toka ianze kufanyika na hivyo haijulikani madhara yake kwa zaid.
 
Hii inasaidia zaid katika kuzuia tatizo au nakosea?
Macho yakishaharibika na kufikia kiwango cha kuhitaji msaada WA MIWANI huna jinsi.Ukitaka kukwepa kuvaa miwani basi unahitaji kufanyiwa laser surgery.... ila hii operation ni delicate na ni recent development haina hata miaka 15 toka ianze kufanyika na hivyo haijulikani madhara yake kwa zaid.

Ni kweli hii ni kwa prevention tu, ila ukitumia inaweza kuzuia macho kuharibika zaidi ya stage yalioko.
 
Kunywa juice ya karoti na ya mchicha wa kienyeji.
Nami pia nina tatizo hilo. Nimeshajaribu karoti na mchicha, sikuona mafanikio yoyote. Ni kama anavyosema Mkuu Vera, hii inasaidia kuzuia tatizo, sio kutibu.
Hivi jamani nimeshamsikia Dr. Ndodi, yule wa Magomeni, akisema anaweza kutibu shida ya macho na usitumie miwani tena. Ni kweli? Wenye taarifa zaidi watupashe.
 
Nami pia nina tatizo hilo. Nimeshajaribu karoti na mchicha, sikuona mafanikio yoyote. Ni kama anavyosema Mkuu Vera, hii inasaidia kuzuia tatizo, sio kutibu.
Hivi jamani nimeshamsikia Dr. Ndodi, yule wa Magomeni, akisema anaweza kutibu shida ya macho na usitumie miwani tena. Ni kweli? Wenye taarifa zaidi watupashe.
Wenye idea ya huyo Dr. tuambizane jamani , maana sipendi kweli kuvaa miwani.
 
Ee bwana mie nilikimbiakimbia kuvaa miwani weee. Mpaka ikafkia sasa ili mkono uingie kinywan nilitakiwa nivae miwani. Nachukia! Yaan nkiwa sipo kazin navua. Street miwan kapuni. But wa2 wanasema hii vaa na vua inaharibu zaidi. Ni kweli hii wakuu?
Nashaur jiandae 2 kuvaa. Ma-operation c mazuri kwa macho.
 
hapo hakuna kukwepa ndugu, kama daktari amekushauri utumie miwani naomba ufuate ushauri wake, maana ukikaidi ndio ugonjwa unazidi. Hata mimi nilipoambiwa kuvaa miwani nilona kama nitashindwa kuishi, lakini sasa nimeizoea kiasi kwamba hata sitaki kuikosa, na nimechukualia kama part and parcel ya maisha yangu. part of my body. Vaa tu ndugu ndio maisha hayo kuliko kuwa kipofu kabisa hebu fikiria kuwa kipofi na kuvaa miwani utachagua nini?
 
Hivi jamani kuna dawa ya kusafisha macho yaweze kuona vizuri hasa mbali bila kutumia miwani.

Pengine ujaribu contact lense kama huna tatizo la kupekua jicho kuweka au kutoa hizo contact.
 
Watu wengine wanasema unatakiwa upunguze vitu vinavyokufanya utumie miwani sanaaa mfano: kusoma, kutumia computer, etc..(sasa sijui maisha yatakuwaje if that your common way of earning..maana yake uangalie kazi za outdoor ..ambazo si lazima sana kutumia miwani..huku ukiendelea kutumia vyakula vinavysaidia kuona..
 
miwani ni muhimu........mimi nikipata shida sana ya kutoona ...na nilishauriwa na wengi kwamba nisiwae miwani.
Badaye nika enda kumwona daktari wa macho -shoppers plaza- kani shauri vizuri madhara na akanieleza LAZER haita saidia macho yangu.
Pia nil elmishwa jinzi macho yangu ilivyo.........na sasa nin hakika kwamba macho ni muhimu...kama inatakiwa kuwaa miwani ..ni lazma hatuwezi kukwepa na pia hakuna dawa wala biti shamba!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom