Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
any comments please...
Mimi hii nimeipenda. Wadau wanaoweza kujitolea kutengenza vipeperushi vya kutosha venye ujumbe huu wanaombwa wafanye hivyo.
poa mku, tupe mahali pa kuanzia...
kula ccm, kufa chadema
any comments please...
Hii kauli mbiu aliitumia Mbunge wa Moshi Mjini Ndesamburo (aka Ndesa Pesa) kumbwagia Shem wake na Ben Nkapa (wakati hajastaafu ukiranja Mkuu wa inji hii) aitwaye Mama Minde: Kula kwa Mama Minde Kura kwa Ndesamburu na kweli jamaa wakafanya hivyo