Kula Dinner na Barack Obama $40,000/= per Person.

Kula Dinner na Barack Obama $40,000/= per Person.

Davie S.M

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
748
Reaction score
228
Katika Pita pita zangu Mitandaoni nikakutana na Tangazo hilI La Obama atakuwa na anAfAnyiwA Fund Rising sijuI nDio Harambee leo Usiku (saa za Huku)Katika Club ya 40/40,NY

Club hii inamilikiwa (Partner) na Bwana Sean Carter (JayZ) na Ambaye atahoSt Shughuli Nzima ni Beyonce.

Cha Zaidi JaYZ tayAri ameshamlipia Mr.President pamoja na convo ya 40 people.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
mbege na ndafu itakuwepo nijirushe chapu mimi shuhuli mingi!
 
Jamani, mbona 40 imetawala?
Ukumbi 40/40
ujumbe watu 40
chakula $ 40,000
Je, nini siri yake? Usije shangaa watakusanya $ 40,000,000
 
Katika Pita pita zangu Mitandaoni nikakutana na Tangazo hilI La Obama atakuwa na anAfAnyiwA Fund Rising sijuI nDio Harambee leo Usiku (saa za Huku)Katika Club ya 40/40,NY

Club hii inamilikiwa (Partner) na Bwana Sean Carter (JayZ) na Ambaye atahoSt Shughuli Nzima ni Beyonce.

Cha Zaidi JaYZ tayAri ameshamlipia Mr.President pamoja na convo ya 40 people.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

jk aige
 
Back
Top Bottom