Kula Hela ya Mtu Anaetafuta kwa Shida sana Halafu Unamnyima Mchezo ni Roho Mbaya

Akikukamata atachanganya vymbi ka Congo na vayagra. Unaweza juridical kwenu ukiwa kwenye wheel chair.
Aisee ni ngumu kuukomoa uchi,hata utumie nin labda kama ana uke mkavu kidogo michubuko ndio inaweza leta shida

Sehemu inapita kichwa cha mtoto si mchezo
 
Huyo kaka hadi namuonea huruma ila bi dada naye ana roho ya ajabu.
Siku nikimuona huyo kaka ntamwambia ukweli wake ajiongeze. Maana utakuta anaitwa baby baby anafurahii. Kuna traffic mmoja nae alimfanyiaga hivyo jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Traffic alikua anampa elfi 20 kila siku na bajaj ya kumrudisha kwao gongo la mboto akitoka kazini na kazi anafanyia mikocheni. Naona yule alijichokea akaacha.
 
Never siwezi kutoa fedha yangu sehemu nisiyopata papuchi toa papuchi nikupe hela hutaki baki na papuchi yangu nami ntabaki na dushelele langu sabuni inatosha[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Sasa si wakati wa kumshawishi bby ndo unatoa. Halafu sasa yeye anachomfanyia huyu bajaj ni kumtumia kwenye mizunguko yake na hampi hata 100
 
[emoji23][emoji23][emoji23]shida ya haya mambo maa unaweza mwambia jamaa ajiongeze na mwisbo wa siku akamwambia bidada ukaonekana mbaya.

Ila hiyo siku huyo dada akikamatwa na jamaa,atasuguliwa hadi aombe poo[emoji23][emoji23]
 
Sasa si wakati wa kumshawishi bby ndo unatoa. Halafu sasa yeye anachomfanyia huyu bajaj ni kumtumia kwenye mizunguko yake na hampi hata 100
Ila wanahela wale kama bajaji ni yake sio ya hesabu hana shida
 
Muendesha bajaji anajua hawezi kuogelea maji makubwa lakini anajitosa, kuzama kwake ndio kajitakia mwenyewe.
 
VILANGA vinatuponza....ila na nyie huwa mnatuweka pending yakiwashinda pote huwa mnarudi kwa hawa ambao mnawalia tuuuu bila kuwapa mti wa kati...
Sio kweli aisee. Kuna mtu unaona kabisa hata iweje huwez kuwa nae. Ndo kama huyu rafiki angu anavyomuona huyu bajaj
 
[emoji23][emoji23][emoji23]shida ya haya mambo maa unaweza mwambia jamaa ajiongeze na mwisbo wa siku akamwambia bidada ukaonekana mbaya.

Ila hiyo siku huyo dada akikamatwa na jamaa,atasuguliwa hadi aombe poo[emoji23][emoji23]
Kwani ntasemea pembeni unadhani? Nasema na yeye akiwepo. [emoji23]
 
Hongera umeandika vizuri sana
Vya bure vinaua
Na kuna siku huyo mtu atachoka kwa anayofanyiwa hata kama anampenda na kipigo atakachopewa huyo Dada kitakuwa cha mbwa koko narudia kipigo kitakuwa cha mbwa koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…