Kula karanga mbichi kutasaidia kumpa mimba?

Kula karanga mbichi kutasaidia kumpa mimba?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Nimebahatika kupata mdada huko nyuma alishawahi kuolewa akapata watoto wawili. Ni muda mrefu hajapata ujauzito. Mimi pia nataka nimjaze fasta. Mitaani wadau huwa wanadai karanga mbichi huwa ziongeza sperm count hivyo kusadia uja uzito.

Wadau wa shoo za ukweli hivi ni kweli karanga mbichi huwa zinasaidia?
 
Nimebahatika kupata mdada huko nyuma alishawahi kuolewa akapata watoto wawili. Ni muda mrefu hajapata ujauzito. Mimi pia nataka nimjaze fasta. Mitaani wadau huwa wanadai karanga mbichi huwa ziongeza sperm count hivyo kusadia uja uzito.

Wadau wa shoo za ukweli hivi ni kweli karanga mbichi huwa zinasaidia?
Uyo mwanamke mlishakubaliana kama unataka kuzaa nae??Isije kuwa mwezio kaeka kijiti au kachoma sindano🤣🤣we unajichosha tu.
 
Back
Top Bottom