Kula-kulala wanapowindana usiku na mchana….!

Baba, hujajua ni nini kilichokufikisha hapo ulipo? Umepata medali gani hadi sasa? Kuwasaidia ndugu sio tatizo, tatizo ni kuwalea kama mayai! Nawajengea mazingira ya kujitegemea, msaidie ndugu apate kazi aondoke. Aibu gani mtu anafukuzwa kazi ama anakufa familia nzima mnatafuta pa kutawanyikia? Mbona sie tumetoka kwako kila mtu anajitegemea hadi Cantalasia?
 



Mtambuzi mie nikipigana na mtu atanipiga tu! Sijawahi pigana maishani mwangu... hivo hizo techniques sizijui... Ugomvi siku zooote huja as a result ya kutaka fuatiliana saana na kujuana kwa undani na pia kushindana. Sasa kama mimi nawapuuza ndugu wa mume wangu kwa vituko vyao - kwanini ndugu upande wangu waingilie kwa vitimbi? Unless otherwise hao wanandugu wa mume waje wanivamie nyumbani na kunitundika mangumi (sijui wataanzia wapi lakini); hapa kweli ndugu najua waweza inglia kutaka leta ugomvi ju! Siwezi tukanana pia.... Walau kwa maandishi naweza tukana.... But sio ile nabishana na mtu kwa matusi... Lazima tu atanitukana atanimaliza na kuniadhiri na kunianika hapo..... Kuepusha hilo akija mtu kunitukana nitamuangalia tu.... mpaka pale atapomaliza.... na nitamuuliza kama kakaukiwa maji nimpe..... (najua ndo njia pekee nitamuongeza hasira ambazo kapania kunipatia....
 

Na kama walikuwa wamekabidhiwa baadhi ya miradi waisimamie, wanajigawia mirathi
 
Nakubaliana na extended family, maana wengi wetu ni matunda ya extended families, lakini watu kugeuza nyumba yangu kuwa sehemu ya malumbano ysiyo na tija kamwe sikubaliani nalo ...

Wakitaka ugomvi, wakafanyie huko kwaoooo ...

Ukicheka na nyani utavuna mabua ....!
 

Wewe ni mwerevu................ Hongera kwa msimamo wako!
 
Bora wagombane kuliko ije ile aibu ya kupeana mimba!

Sauala kubwa hapa ni kuto-entertain ndugu wa pande zote kukaa hapo kwa namna yoyote ile!
 
Ukiona kula - kulala wanapigana au kuleta ugomvi hiyo familia haina baba
Bora ku-outsource tu

Kuna mashamba, ngombe wa kuchunga, mbuzi, palizi, kuvuna, fuga kuku, name it
Wapate wapi huo muda wa kupigana???
 
Ngumu sana kuishi Nuclear family
Labda kama umetoka familia bora
Lakini hizi third world families
Its inevitable
Ila ni kuwa na rules and principles zilizo wazi
Anayeshindwa basi akatafute kwingine


Hujawahi jiegesha kwa watu hata mwezi
Ili kujipanga tayari kwa kutoka?

Bora wagombane kuliko ije ile aibu ya kupeana mimba!

Sauala kubwa hapa ni kuto-entertain ndugu wa pande zote kukaa hapo kwa namna yoyote ile!
 
There u go! Una akili kama mchwa wa kizungu!
Unawapa ugali washibe, waangalie tv tu, nguvu za ziada watazipeleka wapi! Hawasomi, hawalimi!
Ukiona kula - kulala wanapigana au kuleta ugomvi hiyo familia haina baba
Bora ku-outsource tu

Kuna mashamba, ngombe wa kuchunga, mbuzi, palizi, kuvuna, fuga kuku, name it
Wapate wapi huo muda wa kupigana???
 

This happened to me guys!wanandoa be wise
 
Nashangaa
Uje kukaa kwangu hufanyi chochote?
Impossible

There u go! Una akili kama mchwa wa kizungu!
Unawapa ugali washibe, waangalie tv tu, nguvu za ziada watazipeleka wapi! Hawasomi, hawalimi!
 
tatizo la kukosa vitu vya kufanya ndo husababisha watu wabadilike kitabia na kufanya vitu ambavyo kibinadamu haviko sahihi .. kula kulala siku zote anatakiwa awe na malengo ya kujikwamua na si kuharibu alipo au kuharibu utaratibu wa watu kimaisha
 
Ikiwezekana ndugu msaidie kule kule alipo, mambo ya kuishi na ndugu yana matatizo yake, kama kuna uwezekano wa kumsaidia alipo msaidie kule kule, na mie wanisaidie huku niliko la sivyo.............................
 

Halafu nyie wanangu wawili yaani wewe na Cantalisa, umoja wenu unaninyima usingizi...................... mkipanga njama, lazima nione cha mtema kuni. natafuta mbinu ya kuwafarakanisha wallahi
 
Suala hili sidhani kama lina ukanda, kwa sasa imekuwa ni kutoka pande zote za nchi hii.Kikubwa zaidi hapa ni kwamba tuwapokee kwa muda maalumu kwa lengo maalum na likishakamilika warudi makwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…