kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Wakuu wa humu mko vizuri?
Ebana jana kulikua na sherehe somewhere ya jamaa yangu, yani me toka asubuhi ilikua ni nyama na pombe tu.
Sasa leo nimeamka, kila nikijamba natoa shuzi linanuka sio poa.
Hivi kuna uhusiano wa kula nyama na kujamba mashuzi yanayonuka kiasi hiki?
Ebana jana kulikua na sherehe somewhere ya jamaa yangu, yani me toka asubuhi ilikua ni nyama na pombe tu.
Sasa leo nimeamka, kila nikijamba natoa shuzi linanuka sio poa.
Hivi kuna uhusiano wa kula nyama na kujamba mashuzi yanayonuka kiasi hiki?