Kula papuchi kwa jina la joketi mwegelo

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Kupitia akaunti yake ya facebook, mwanamitindo na mjasiriamali Joketi Mwegelo, ametoa tahadhari kwa wananchi kuhusu uwepo wa mtu anayetumia jina la Joketi Mwegelo kuwatapeli akina dada mbalimbali wa kibongo kwa ahadi ya kuwapa deals za kufanya modelling plus kuwaingiza katika mahusiano ya kimapenzi..Kwa sentensi nyingine, huyu jamaa anacho kifanya ni KULA PAPUCHI KWA JINA LA JOKETI MWEGELO..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…