Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Wana jamii wenzangu, za kazi.
Nimekuwa na tatizo la kula kupita kiasi na bila kushiba. Nimepima minyoo lakini sina. Na nimerudia mara kwa mara niko sawa tu.
Hali hii inaninyima raha. Huwa sihisi njaa sana lakini nikikikutia chakula hata kwa jirani ukweli ni kuwa lazima nile.
Nifanyeje na hili tatizo husababishwa na nini?Naomba mwongozo wenu.
Ndugu yenu kutoka Ruvuma
Nimekuwa na tatizo la kula kupita kiasi na bila kushiba. Nimepima minyoo lakini sina. Na nimerudia mara kwa mara niko sawa tu.
Hali hii inaninyima raha. Huwa sihisi njaa sana lakini nikikikutia chakula hata kwa jirani ukweli ni kuwa lazima nile.
Nifanyeje na hili tatizo husababishwa na nini?Naomba mwongozo wenu.
Ndugu yenu kutoka Ruvuma