Kula ugali usiku ni dalili ya umaskini

Kula ugali usiku ni dalili ya umaskini

simba songea

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
1,498
Reaction score
1,216
d2736919cbbb872a9e7ab2cdb5ab6d27.jpg

5ae8cf0110f8286563a0b8c022e41f44.jpg

Sijui nini kinachotufanya tule ugali na wali kila siku utasema tumepangiwa na serikali [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Labda kwako..ucku kuna vyakula tofauti vyepesi unaweza kula, kutokana na matakwa yako
 
Hahaha
Kwamba tumepangiwa na serikali
Nadhani ni mazoea tu ni kama ukiishi pwani hasa Zanzibar au mombasa utaona tofauti na usukumani au uchagani.
 
Kwetu hakuna chakula chepesi maana huwezi kutulisha tambi hatushibi wakati kuna majimbi,mihogo,ndizi,viazi vyote na mbatata (kiazi utam)wali na ugali.nk.

~Na acha tule tu maana km kulima tako tunalima jamani mweee,chai asbh tu kwa baadhi ya familia zimeanza juzi maana unapewa maziwa na viazi utam asbh.
 
Inategemea na maeneo unayoishi lakini si lazima kula ugali. Pia ni maitaji yako wewe na familia yako mle mnachokitaka.
 
Kwetu hakuna chakula chepesi maana huwezi kutulisha tambi hatushibi wakati kuna majimbi,mihogo,ndizi,viazi vyote na mbatata (kiazi utam)wali na ugali.nk.

~Na acha tule tu maana km kulima tako tunalima jamani mweee,chai asbh tu kwa baadhi ya familia zimeanza juzi maana unapewa maziwa na viazi utam asbh.
Duh kulima nini hapo aya ya mwisho?[emoji15]
 
Duh kulima nini hapo aya ya mwisho?[emoji15]
Dada kwetu sisi ni wakulima wa mazao sa hivi tunapalilia mahind,tunapanda viazi mviringo na kwa mashamba yalio mbali na makazi tunayo ishi hali ya hewa tofauti huko tupo kuandaa mashamba.kazi ngumu siwezi kula boflo
 
Kwetu hakuna chakula chepesi maana huwezi kutulisha tambi hatushibi wakati kuna majimbi,mihogo,ndizi,viazi vyote na mbatata (kiazi utam)wali na ugali.nk.

~Na acha tule tu maana km kulima tako tunalima jamani mweee,chai asbh tu kwa baadhi ya familia zimeanza juzi maana unapewa maziwa na viazi utam asbh.
Duh kulima nini hapo aya ya mwisho?[emoji15]
 
Huku kwetu Pwani ni utamaduni usiku kula vyakula vyepesi nadhani hata kiafya pia hushauriwi kujaza tumbo na kulala na shibe usiku ila kwa jamii nyingine hawakuelewi ukiwalisha chakula kama tambi, chapati & rosti usiku wanaona kama unacheza na matumbo yao vile[emoji23][emoji23]
 
Kwetu hakuna chakula chepesi maana huwezi kutulisha tambi hatushibi wakati kuna majimbi,mihogo,ndizi,viazi vyote na mbatata (kiazi utam)wali na ugali.nk.

~Na acha tule tu maana km kulima tako tunalima jamani mweee,chai asbh tu kwa baadhi ya familia zimeanza juzi maana unapewa maziwa na viazi utam asbh.

Jamani sio tako ni nako,shida ya mipyatilo jamani
Kuna sehemu ya edit Unge edit tu
 
Back
Top Bottom