Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

🙌 wbongo nimewanyooshea mikono🙌
 
Hahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewale
Kumbe zile gym zoote ni kutafuta stamina za kusimamia ukucha😂

Kutekwa kule usikute sababu alikula biriani la mafia akaleta ubahili.😢
 
Mahakama imewapa kihalali mali watoto husika wa mengi na wale wadogo wanalindiwa mali na watoto wakubwa wa mengi jackline ni kahaba huria haaminiki alichofanya kimeenda komboo usihangaikie mali za familia zawatu katafute zako from the start my dear walizaliwa 2 children na wazazi wao walifight so tafuteni maisha .
 
Hivi alishawai kuona kaburi?
 

Hii ni kwa mujibu wa maoni yako
Lakini sio kisheria
Najua kama jack ni gold digger lakini ndio mjane wa marehemu kisheria ana haki zake kama mjane
 
Hii ni kwa mujibu wa maoni yako
Lakini sio kisheria
Najua kama jack ni gold digger lakini ndio mjane wa marehemu kisheria ana haki zake kama mjane
Sasa hajapewa ndio ukweli wenyewe hata sheria yenyewe imenyima haki
 
si ndio Christmas inakalibia natamani aende tena kuvamia mageti ya watu machame bila taarifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila baba Bonita kiboko .si alikuwa shahidi no moja kwenye harusi? Alivomkana jomoni kweli mungu anamuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…