junior mzolo
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 140
- 7
Kuna madhara yoyote kwa mtu kulala sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna madhara yoyote kwa mtu kulala sana
Mkuu una minyoo hatari.nenda kwa wamasai waambia unataka dawa ya kutapika nyonyo kuna ya powder na miti waambie wakupe ya miti waikatekate kisha kachemshe unywe kama lita 1.mkuu utaarisha vitu vyeupeee na utakuwa ulali hovyo kama nguruwe tena.
uwii mbona umenitisha kulala ni minyoo kumbe?
Asante sana kaka kwa ushauri ntazingatia maelekezo yako