Kulala sana

Kuna madhara yoyote kwa mtu kulala sana

Mkuu una minyoo hatari.nenda kwa wamasai waambia unataka dawa ya kutapika nyonyo kuna ya powder na miti waambie wakupe ya miti waikatekate kisha kachemshe unywe kama lita 1.mkuu utaarisha vitu vyeupeee na utakuwa ulali hovyo kama nguruwe tena.
 
Asante sana kaka kwa ushauri ntazingatia maelekezo yako
 
Mkuu una minyoo hatari.nenda kwa wamasai waambia unataka dawa ya kutapika nyonyo kuna ya powder na miti waambie wakupe ya miti waikatekate kisha kachemshe unywe kama lita 1.mkuu utaarisha vitu vyeupeee na utakuwa ulali hovyo kama nguruwe tena.

uwii mbona umenitisha kulala ni minyoo kumbe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…