KULAMBA PESA (noti) KUNA MADHARA?

KULAMBA PESA (noti) KUNA MADHARA?

Kurutamjanja

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
396
Reaction score
374
Wana Jf,ushauri wenu wadau. binafsi shughuli zetu wengine zinahusiana na kushika pesa muda waote huku uraiani. hakuna vifaa vya kuhesabia pesa. na muda mwingi tukiwa tunahesabu pesa za noti huwa tunalamba vidole na kuendelea kushika noti hizo. sasa je kuna madhara yoyote ambayo binadamu anaweza kuyapata? Msaada tafdhali wadu kwa anayejua.
 
Fedha ni kati ya vitu vichafu kuliko vyote. Kwa nini usiweke maji kwenye kichombo ukachovya kidole? Pia kuna kisponji maalum unaweza kutumia
 
Back
Top Bottom