Shoctopus
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 3,434
- 1,985
Asalam-alaekoum Wana-JF!
Kama wapo wataalamu wa sheria na haki za binadamu humu ninapenda wanisaidie kudadavua mada ya hapo juu.
Simu yako kwanza ni chombo chako cha mawasiliano binafsi.
Pili unaponunua line yako ya simu unaingia mkataba na kampuni husika kwamba hatatumia line yako kwa masuala mengine yasiyohusiana na madhumuni ya line.
Kwa mfano unaponunua umeme, una hiyari ya kutumia app ya line ya mtandao husika au kwenda kununua TANESCO au kwa wakala.
Unaweza hata kumnunulia LUKU mtu mwingine kwa simu yako. Sijasikia TANESCO wanaweka bili ya maji kwenye mita yao, kama anavyotaka kufanya Mwigulu.
Kwanini Wizara ya Ardhi au TRA ambao ni wakusanyaji wa kodi wasianzishe app za kulipia property tax? Kuna ugumu gani?
Wakifanya hivyo kodi yako ya jengo inaweza kulipwa na mtoto wako au jirani nk kama ilivyo kwenye manunuzi ya LUKU.
DAWASCO kabla ya kuwa DAWASA walikuwa na app yao tulikuwa tunaitumia kucheki bili na kulipia.
Hii ya kulazimisha kulipa bili ya umeme wa LUKU pamoja na kodi ya jengo ni kiroja.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
Kama wapo wataalamu wa sheria na haki za binadamu humu ninapenda wanisaidie kudadavua mada ya hapo juu.
Simu yako kwanza ni chombo chako cha mawasiliano binafsi.
Pili unaponunua line yako ya simu unaingia mkataba na kampuni husika kwamba hatatumia line yako kwa masuala mengine yasiyohusiana na madhumuni ya line.
Kwa mfano unaponunua umeme, una hiyari ya kutumia app ya line ya mtandao husika au kwenda kununua TANESCO au kwa wakala.
Unaweza hata kumnunulia LUKU mtu mwingine kwa simu yako. Sijasikia TANESCO wanaweka bili ya maji kwenye mita yao, kama anavyotaka kufanya Mwigulu.
Kwanini Wizara ya Ardhi au TRA ambao ni wakusanyaji wa kodi wasianzishe app za kulipia property tax? Kuna ugumu gani?
Wakifanya hivyo kodi yako ya jengo inaweza kulipwa na mtoto wako au jirani nk kama ilivyo kwenye manunuzi ya LUKU.
DAWASCO kabla ya kuwa DAWASA walikuwa na app yao tulikuwa tunaitumia kucheki bili na kulipia.
Hii ya kulazimisha kulipa bili ya umeme wa LUKU pamoja na kodi ya jengo ni kiroja.
Sent from my G80 using JamiiForums mobile app