i hate them
Kuanza maisha mapya ni sawa na mi nakubaliana na wewe kabisa but je kubadili hiyo namba kutakubadilisha wewe na tabia yako? Kama ndiyo je huwezi kubadilika na kuwa mtu mpya bila kubadili namba?
NAWE POLE KWA ILOPole jamaniKheri ya upweke mara 100 kuliko mpenzi asiye jua maana!!!!
ujue mtu mwingine anavoona unaishi anajipa moyo maybe utaingia line kumbe anakukerahate them with your actions mama, ukiwa hutendi unavyohisi itakuumiza wewe na itakutesa wewe sio wao
ulitaka kupiga kote kote hadi kieleweke sio?
Unajua Musimo mtu akiwa ana dhamira ya kufanya jambo fulani atafanya tu liwe baya au zuri ni utashi wa mtu ndio unawezA kumtuma afanye jambo fulani au lah!Nakuunga mkono kwa hilo mkuu
Kweli kabisa, shinikizo lolote la kumfanya mtu abadili tabia na ikatokea huyo mtu akabadili huwa inachukua muda mfupi sana. Inakuwa kama kupaka rangi kwenye chuma chenye kutuUnajua Musimo mtu akiwa ana dhamira ya kufanya jambo fulani atafanya tu liwe baya au zuri ni utashi wa mtu ndio unawezA kumtuma afanye jambo fulani au lah!