Hata kama kura zake alizopigiwa ni nyingi zaidi ya Ruto ??!! Au ni vipi ?!Huku Ruto kasema Mahakama Haina mamlaka ya kumtangaza Raila kama Rais..
Sijui anamaanisha nini, ukorofi tuHata kama kura zake alizopigiwa ni nyingi zaidi ya Ruto ??!! Au ni vipi ?!
HAPANA, Mimi Kwa Siasa za Kenya Wala Sina upande, usinipeleke Huko, kwa Tanza-nia inajulikana upande wangu labda kama Wewe ni Mgenipro odinga jiandaen kiakili kenya uchaguz ulikuwa huru nyie kunguru wa walamba asali hapo lumumba anzishen threads za mara kenya kimewaka, mara kenya watapigana mmebaki wapiga ramli.
Naunga "mkojo hona hii"!ππππtanzania kuna upumbavu mwingi sana litume lenu fake hata kujumlisha matokeo yaliyotangazwa vituon linakataza nadhan dawa ni kutiana adabu kama walivyofanya kenya baada ya hapo ndo tutaheshimiana.
Upande upi. Upande wa mto wami au. Afu jana umeniudhi na uzi wakoHAPANA, Mimi Kwa Siasa za Kenya Wala Sina upande, usinipeleke Huko, kwa Tanza-nia inajulikana upande wangu labda kama Wewe ni Mgeni
Marekebisho kidogo Chebukati ni Nwenyekiti wa IECB sio MkurugenziMkurugenzi wa tume ya taifa ya Uchaguzi ya Kenya IEBC bwana Wafula Chabukati katika kiapo chake mbele...
Mkuu hiyo ni spin tu! Kimsingi watu wa Odinga wanafanya juu chini kuwadhalilisha wakina Chebukati!Walimtembelea kwa lengo lipi?
Kwani mwenyekiti wa tume hapaswi kutembelea watu?
Sijui kama ni kosa, unless kuwe na sababu nyingine ya zaidi.
Kwani shida ipo wapi, si wahessabu kura upya ili ijulikane kama uchaguzi urudiwe au laMkurugenzi wa tume ya taifa ya Uchaguzi ya Kenya IEBC bwana Wafula Chabukati katika kiapo chake mbele ...
Na kama waliweza kukushinikiza wewe watashindwaje kuwashinikiza hao majaji kumpa ushindi wa kesi RutoMkurugenzi wa tume ya taifa ya Uchaguzi ya Kenya IEBC bwana Wafula Chabukati katika kiapo chake mbele ya Mahakama ya juu Kwenye kesi ya kupinga matokeo ya Urais yaliyompa bwana Ruto Ushindi alidai kwa alishinikizwa na deep state kubatislisha matokeo ya Urais.
Hata hivyo Khali ya hewa imebadilika gafula pale bwana Tuju mkurugenzi wa uchaguzi wa Azimio alipo ibuka hadharani na kusema bwana Chabukati na baadhi ya commissioner ya IEBC walimtembelea kwake na CCTV camera ziliwamulika na Yuko tayari kuzitoa.
Tuendelee mtanange wa kisheria.
Anakubali kuonana na Chebukati muda huo unaosemekana kwenye kiapo lakini kabadili stori.Mkuu hiyo ni spin tu! Kimsingi watu wa Odinga wanafanya juu chini kuwadhalilisha wakina Chebukati! Baada ya kiapo cha Chebukati kufika Court na kusema kweupe na tena kuwataja mpaka majina vyeo vyao wale walimshinikiza apindue matokeo na jinsi walivyo mshinikiza nawao wakaona waje na hiyo propaganda!
Kiukweli kama kungelikuwa na kitu kilifanyika hapo katika kutemtembelea huko, kingeletwa kama kielelezo Mahakaman tangia awali wakati wameenda kupeleka kesi yao na kupeleka vielelezo vyao kweye ile Canter na hicho kingekuwepo kama ushahidi.