bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
PSg leo akishinda 3 kavu na Neymar akitupia kambani bao la tatu wakiwa ugenini kule kwa akina Messi ulikua msiba mzito baada ya kuchenjuliwa na Real madrid mikwaju 3 kwa moja tena wakiwa uwanja wao wa kujidai Nou Camp.
Je itakua mapema kusema Pengo la Neymar limeanza kuonekana??Sijui ila kwa kifupi Pique hapana magoli yote yeye ndo kawa highway kama ile ya Thika/kenya
Labda Paulinho atawasaidia game ijayo ya jumatano na kuweza kukomboa mikwaju yote,wanahitaji beki Jamii ya Puyol Pique is Very Soft hamuoni mwenzake Baily(man utd) mwanzo mwisho hakuna kucheka?
Je Real madrid watakubali yatokea yale Ya PSg? muda utasema...
Sent using Jamii Forums mobile app
Je itakua mapema kusema Pengo la Neymar limeanza kuonekana??Sijui ila kwa kifupi Pique hapana magoli yote yeye ndo kawa highway kama ile ya Thika/kenya
Labda Paulinho atawasaidia game ijayo ya jumatano na kuweza kukomboa mikwaju yote,wanahitaji beki Jamii ya Puyol Pique is Very Soft hamuoni mwenzake Baily(man utd) mwanzo mwisho hakuna kucheka?
Je Real madrid watakubali yatokea yale Ya PSg? muda utasema...
Sent using Jamii Forums mobile app