katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna shule ya kulea mtoto. Fanya mbinu zote mtoto anyamaze Hakuna kudesa hapa..Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Tumempeleka hospitalini haumwi kituAnaumwa huyo
Kuna mambo hujakamilisha kwenu neenda ukatimiza mila kwanza.Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Watoto ndi walivyo lakin baada ya mienz mitatu ataacha. Dah kulea it's so hard basi tuNyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Mnyonyeshe atatulia, njaa inamsumbua ndio maana analia 😂Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
Wanakuambia having children is THE BEST-WORST DECISION. Chukua hilo, ishi nayo alafu changanya na yako.Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??
AiseeKuna wakati nilikuwa natulia nakaangalia tu mpaka mama yake aje,sipendi kabisa mtoto anaelia lia
Mpe nyonyo uyooNyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ??