katoto kazuri JF-Expert Member Joined Feb 10, 2018 Posts 6,124 Reaction score 5,745 May 7, 2023 Thread starter #21 raraa reree said: Mpe nyonyo uyoo Click to expand... Hataki
katoto kazuri JF-Expert Member Joined Feb 10, 2018 Posts 6,124 Reaction score 5,745 May 7, 2023 Thread starter #22 Kambi ya Fisi said: Mnyonyeshe atatulia, njaa inamsumbua ndio maana analia 😂 Click to expand... Hapana Hana njaa Wala Nini uchokozi
Kambi ya Fisi said: Mnyonyeshe atatulia, njaa inamsumbua ndio maana analia 😂 Click to expand... Hapana Hana njaa Wala Nini uchokozi
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 May 7, 2023 #23 Kulia ni mawasiliano kati ya mtoto na wanaomzunguka. Yawezekana anahisi joto Yawezekana anaumwa Tuliwahi kuuguliwa na mtoto akawa analia tu akalazwa tatizo likagundulika baada ya siku 5 hospital
Kulia ni mawasiliano kati ya mtoto na wanaomzunguka. Yawezekana anahisi joto Yawezekana anaumwa Tuliwahi kuuguliwa na mtoto akawa analia tu akalazwa tatizo likagundulika baada ya siku 5 hospital
Django Doer JF-Expert Member Joined Jun 30, 2023 Posts 2,865 Reaction score 5,184 Jul 6, 2024 #24 katoto kazuri said: Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ?? Click to expand... Pole sana bibie
katoto kazuri said: Nyie mnaleaje maana huyu analia kama Nini hata umpe Nini, au umfanyie Nini analia tu basi . Shida Nini??? Tusaidiane ?? Click to expand... Pole sana bibie