Kuleni kadiri ya urefu wa kamba zenu

Kuleni kadiri ya urefu wa kamba zenu

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Nadhani madhara ya kauli hii mama unaiona sasa

Huko Mtwara askari wamefanya vile ulivyowaeleza wamekula na kuua lakini wakauana

Uchifu hauna tija katika zama hizi kama ungekuwa na tija Marekani na Ulaya wangekuwa wanaendelea nao

Ushauri tu tatua kero za wananchi achana na tuvitu ambavyo hatuna tija kwa Mtanzania

Kama hautabadilika tegemea makubwa zaidi ya hayo

Kama makamu wako na wewe hamfurahishwi na haya mauaji CHUKUENI HATUA una nyenzo zote kulalamika haisadii ukilalamika wewe sisi tufanyeje ambao hatuna jeshi wala silaha

IGP wako anakuangusha wana ukizubaa 2025 utaenda mchamba wima kula pensheni yako ya miaka 4 ya uongozi.
 
Mtete usipochambua vizuri mbegu, ukiachana na ile milio kama risasi haya pia ni madhara mengine
 
MKUU asiyekuwa na kamba anafanyaje? Hawa wanaofanya mambo ya ovyo wazi kwamba ni mbuzi wasiokuwa na kamba.. mbuzi waelevu huwa na kamba na huwa smart sana.. MAMA awafunge kamba hao mbuzi kuanzia sasa
 
Nadhani madhara ya kauli hii mama unaiona sasa

Huko Mtwara askari wamefanya vile ulivyowaeleza wamekula na kuua lakini wakauana

Uchifu hauna tija katika zama hizi kama ungekuwa na tija Marekani na Ulaya wangekuwa wanaendelea nao

Ushauri tu tatua kero za wananchi achana na tuvitu ambavyo hatuna tija kwa Mtanzania

Kama hautabadilika tegemea makubwa zaidi ya hayo

Kama makamu wako na wewe hamfurahishwi na haya mauaji CHUKUENI HATUA una nyenzo zote kulalamika haisadii ukilalamika wewe sisi tufanyeje ambao hatuna jeshi wala silaha

IGP wako anakuangusha wana ukizubaa 2025 utaenda mchamba wima kula pensheni yako ya miaka 4 ya uongozi.


,😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Back
Top Bottom