Somoe JF-Expert Member Joined Oct 28, 2010 Posts 754 Reaction score 282 Feb 20, 2013 #1 Sheria na haki ya kuleta gari tz sijaielewa. Mie nataka kuleta gari ambayo nimeikimiliki miaka 3 sasa. Na ninampango wa kununua ingine nilete mbili kwa mpigo. Nataka kuzitumia kibiashara. Je hawa watu wa TRA wanasemaje huu mwaka wa 2013?
Sheria na haki ya kuleta gari tz sijaielewa. Mie nataka kuleta gari ambayo nimeikimiliki miaka 3 sasa. Na ninampango wa kununua ingine nilete mbili kwa mpigo. Nataka kuzitumia kibiashara. Je hawa watu wa TRA wanasemaje huu mwaka wa 2013?