Kuleta gari Tanzania kutoka nchi ya nje

Somoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
754
Reaction score
282
Sheria na haki ya kuleta gari tz sijaielewa.

Mie nataka kuleta gari ambayo nimeikimiliki miaka 3 sasa.
Na ninampango wa kununua ingine nilete mbili kwa mpigo.
Nataka kuzitumia kibiashara.

Je hawa watu wa TRA wanasemaje huu mwaka wa 2013?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…