Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Itakuwa bora kwani unafiki na usaliti ulizidi mno pamoja na uzalendo maslahi.Wakati mwingine inabidi kubadili mbinu za Usaliti ili kuendelea kutafuna hela za ccm na za umma , Mipango ya Mwendazake kwa Covid 19 ni kama imeondoka naye , Ule ulinzi waliokuwa wanapewa na Msigina Katiba aliyekwenda haupo tena , mipango ya kuwaengua kwa aibu imekamilika .
Ili kuepuka jambo hilo wanapaswa kujiuzulu kabla ya Jumatatu
Mataga bwana hamtakagi kujifunza nyie akili hamna kabisaNyumbu wa Ufipa msihangaike. Akina Mdee wapo Bungeni hadi 2025.
Hatuna akili, tunaongoza nchi. Hatuna akili, Bungeni tumejaa sie nje. Hatuna akili eti tunatumia dola nyie mmeufyata! Pumbavu!!!!Mataga bwana hamtakagi kujifunza nyie akili hamna kabisa
Akina Mdee wa CCM?Nyumbu wa Ufipa msihangaike. Akina Mdee wapo Bungeni hadi 2025.
Hapana. Wa Chadema.Akina Mdee wa CCM?
Tulishawafukuza Chadema na ndio walishajiua kisiasaHapana. Wa Chadema.
Sawa. Ndio maana wanamalizia ubunge baadae waje CCM wapewe Ukuu wa Wilaya.Tulishawafukuza Chadema na ndio walishajiua kisiasa
Mkitaka wapeni hata Baa wauze, ila hapo Bungeni wako kinyume na Sheria na KatibaSawa. Ndio maana wanamalizia ubunge baadae waje CCM wapewe Ukuu wa Wilaya.
Huna akili kabisa. Kujaa bungeni ndio kuwa na akili!?Hatuna akili, tunaongoza nchi. Hatuna akili, Bungeni tumejaa sie nje. Hatuna akili eti tunatumia dola nyie mmeufyata! Pumbavu!!!!
Hawa wametimuliwa Chadema hilo halina maswaliWasubiri kwanza kikao cha Mbowe na Rais. Labda Rais atawashauri kitu kisha watafikia muafaka hao Covid 19 waendelee kubaki Bungeni.
Unafikiri Bungeni vinaingia vichwa vibovu kama cha Lissu? Pumbavu!Huna akili kabisa. Kujaza bungeni ndio kuwa na akili!?
Huna akili wewe! Hujui hata vichwa bora wanakuwaje!Unafikiri Bungeni vinaingia vichwa vibovu kama cha Lissu? Pumbavu!
Vichwa bora ni kama Halima Mdee, Esther Bulaya na Esther Matiko kutaja wachache.Huna akili wewe! Hujui hata vichwa bora wanakuwaje!
Noma kweli !Mwisho Wa UbayUbaya Ni Aibu
Nasema Uongo Ndugu Zangu