Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Poleni na swaumu, kuna wale wenye nywele za brown hivo ujikuta wakipaka super black...sasa kuliko kupaka super black kwenye nywele kwa lengo la kufanya nywele ziwe nyeusi
Ni heri uwe unaziosha kwa sabuni ya Unga alafu ukishamaliza unazipaka mafuta ya nazi (minara)..ukifanya hivi mara kadhaa utaona mabadiliko
#mwanakulipata
Ni heri uwe unaziosha kwa sabuni ya Unga alafu ukishamaliza unazipaka mafuta ya nazi (minara)..ukifanya hivi mara kadhaa utaona mabadiliko
#mwanakulipata