KULIKONI MBETWanajamvi leo imetimia wiki tangu ni bet kupitia Mbet Multiple na Mbet Normal...kwenye simu yaani internet na pesa ndefu nilitumia kubet lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa kiasi nilichoshinda na nikipiga simu yaani inaita bila kupokelewa..Je nini kimetokea kama kampuni inafungwa au kufirisika inakuaje?Je mimi niliyepo hapa Mwanza kuna mtu anajua ofisi za hao jamaa Mbet
Mwenye taarifa plz msaada.
offisi zao zipo maeneo ya upanga karibu na makao makuu ya jeshi namba zao ni 0622619808Wanajamvi leo imetimia wiki tangu ni bet kupitia Mbet Multiple na Mbet Normal...kwenye simu yaani internet na pesa ndefu nilitumia kubet lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa kiasi nilichoshinda na nikipiga simu yaani inaita bila kupokelewa..Je nini kimetokea kama kampuni inafungwa au kufirisika inakuaje?Je mimi niliyepo hapa Mwanza kuna mtu anajua ofisi za hao jamaa Mbet
Mwenye taarifa plz msaada.