bss ni majambazi....haiwezekani waendeshe ile program kwa kuonyesha kwenye tv na kushawishi watu ku-vote kwa text then fainali haionyeshwi. huo ni wizi na ninaulaaani kwa nguvu zote, tena ni dharau walitegemea watu wa mikoani wote waje hapo diamond jubilee?? kama sio dharau na matusi kwa wananchi wa tanzaniaa ni nini?? alafu mpaka sasa hawajatoa tamko lolote hata kuomba msamaha kwa kushindwa kwao kuonyesha hilo tukio.
hawa watu waporwe licence, kwanza wanawatukana na kuwakatisha tamaa wasanii wachanga....