Elections 2010 Kulikoni Hawa wastaafu hawaonekani?

Elections 2010 Kulikoni Hawa wastaafu hawaonekani?

Ochu

JF-Expert Member
Joined
May 13, 2008
Posts
976
Reaction score
47
wakati kampeni zinaendelea kupamba moto mpaka sasa hatujawasikia Mkapa, Mwinyi, Msuya, Warioba na Sumaye wanampigia kampeni Kikwete....kuna tatizo gani? au ndo wamemtosa? Nyerere alimsaidia sana Mkapa kuingia madarakani kama mnakumbuka.
 
wakati kampeni zinaendelea kupamba moto mpaka sasa hatujawasikia Mkapa, Mwinyi, Msuya, Warioba na Sumaye wanampigia kampeni Kikwete....kuna tatizo gani? au ndo wamemtosa? Nyerere alimsaidia sana Mkapa kuingia madarakani kama mnakumbuka.

Warioba hana imani kabisa na uongozi wa JK!
Sumaye ni mpinzani wa jadi wa JK.
Mwinyi sees the guy as too childish, na amesahau kabisa mahitaji ya raia!
Msuya is busy with his businesses and has no time for useless and neglecting fellow!
Mkapa has thrown him in a swimming pool and thinks he can defend himself!

 
Baadhi yao si wasafi pia. Wanaogopa kupambana na watu kama kina Dr. Slaa.
 
wakati kampeni zinaendelea kupamba moto mpaka sasa hatujawasikia Mkapa, Mwinyi, Msuya, Warioba na Sumaye wanampigia kampeni Kikwete....kuna tatizo gani? au ndo wamemtosa? Nyerere alimsaidia sana Mkapa kuingia madarakani kama mnakumbuka.



Umesahau ni majuzi tu Mwinyi 'alibusu' pete la kuume la Jakaya. Ondoa jina la Mwinyi. Misikiti tu inamtosha kumpigia debe JK (nadhani umeskia skia kuhusu baadhi ya watu (Londa) kufanya kampeni Misikitini).

Hao wanaobaki (Ben, Cleo, Jose, na Fred) sababu ni moja tu: "SIYO WAISLAMU"
 

Umesahau ni majuzi tu
Mwinyi 'alibusu' pete la kuume la Jakaya. Ondoa jina la Mwinyi. Misikiti tu inamtosha kumpigia debe JK (nadhani umeskia skia kuhusu baadhi ya watu (Londa) kufanya kampeni Misikitini).

Hao wanaobaki (Ben, Cleo, Jose, na Fred) sababu ni moja tu: "SIYO WAISLAMU"
Ninaona hiyo siyo sababu ya msingi ksa ccm ya waislamu??Ahamed Salim yupo wapi??Mwinyi anakila sababu kwani utawala wa Ben ulimtosa!Jk ndo akamrudi ktk system
 
Hawataki kuchafua zaidi CV zao,pili labda hawakukaribishwa kufanya kampeini labda sio mtaji kwa sasa,tatu inawezekana wanatafakali mwenendo wa kampeini kabla ya kuingia vitani saa za majeruhi, nne chuki binafsi na mgombea.
 
hawataki kua kama siNema kumnadi mgombea mdhaifu kiasi hicho
 
labda waogopa ulinzi usio onekana wa yahya hussein,
 
Back
Top Bottom