Kulikoni huu mche wa apple?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Heshima zenu wakuu.

Hivi karibuni, 11/04/2024, niliotesha miche michache ya matunda ya apple. Ilikuwa miche mitatu, na nililietewa toka Kenya.

Lakini mmoja wa hiyo miche imetoka michipukizi yanayofana na maua lakini sina uhakika kama ni maua, hasa ikizingatiwa kuwa "majuzi" tu.

Hiyo alhalibni ya kawaida?

Hayo ni maua au matawi?

NB. Ni mmoja tu ndiyo umetoa michipukizi rangi kama nyekundu (lakini siyo nyekundu) nisiyo na uhakika nayo kama ni maua au la.

Ni kama ionekanavyo pichani. Picha zote ni za huo mmea mmoja.
 

Attachments

  • IMG_20240426_122759_702.jpg
    2.7 MB · Views: 3
  • IMG_20240426_122803_890.jpg
    3.1 MB · Views: 5
  • IMG_20240425_140721_477.jpg
    6.9 MB · Views: 7
  • IMG_20240426_122815_802.jpg
    3.7 MB · Views: 3
  • IMG_20240426_122817_882.jpg
    3.8 MB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…