Leo nimeona picha ya wana magamba ukurasa wa mbele wa gazeti la Mwananchi,kilichonishtua ni hali ya aliyekuwa Iron lady wakati fulani Zakhia Meghji,kawa mdogo si kama yule mama aliyekuwa na siha au tuseme ndio kufanya diet huko jamani,kila la kheri Zakhia Meghji endeleze libeneke la kujivua gamba huko magambani
Tayari!!!!!
Umbea tu. Zakia Meghji anakula kuku kwa mrija. Acheni hizo. Umri tu ndio unaomsumbua.
Tayari wiring imekamilika ..