Kulikoni Iron Lady Zakhia Meghji


Mungu akamtuma Israel?
Unajua maana ya Israel?
Katika neno Israel
Lina neno -EL mwishoni ambapo inamaana ya Mungu.

Maana ya Israel ni mteule wa Mungu wala sio mauti kama wenye chuki na Taifa teule wanavyojifariji.

Alafu pia ni jina la mtu ambaye zamani aliitwa Jacob ni vyema kujifunza kitu kwanza kuliko ku take for granted.
 

hiyo ndio siasa mkuu.
 

Kafungue kanisa mkuu, wenzio wanatembelea helikopta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…