Kulikoni President Yoweri K. Museveni katika hili

Kulikoni President Yoweri K. Museveni katika hili

evonik

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
3,996
Reaction score
5,156
Ni kipindi kingine tena wakati wa kuelekea uchaguz mkuu nchin Uganda utakaofanyika hapo mwakani ,ambapo Rais aliyepo madarakan anatarajia kupeperusha bendera ya chama chake tawala.Imekua ni kawaida sana kwa rais huyo kuachia wimbo ktk kipindi hiki ili kuhamasisha wapiga kura wampigie kura,Sio ajabu kumuona Pres.Museven kushika mic na kuanza kurap ktk kipindi hiki,moja ya wimbo wake nnaoujua ni ule anaoimba,"Do you want another rap" then inaitikiwa Yes ..
.....Ni safar nyingine tena Ambapo wakat huu ameanza mazungumZo na Mtayarishaji wa mziki nchini humo ,ambapo Museven alimwita IKULU kwa kuanza kazi .Kila la kher Pres.Museven
 
Ni kipindi kingine tena wakati wa kuelekea uchaguz mkuu nchin Uganda utakaofanyika hapo mwakani ,ambapo Rais aliyepo madarakan anatarajia kupeperusha bendera ya chama chake tawala.Imekua ni kawaida sana kwa rais huyo kuachia wimbo ktk kipindi hiki ili kuhamasisha wapiga kura wampigie kura,Sio ajabu kumuona Pres.Museven kushika mic na kuanza kurap ktk kipindi hiki,moja ya wimbo wake nnaoujua ni ule anaoimba,"Do you want another rap" then inaitikiwa Yes ..
.....Ni safar nyingine tena Ambapo wakat huu ameanza mazungumZo na Mtayarishaji wa mziki nchini humo ,ambapo Museven alimwita IKULU kwa kuanza kazi .Kila la kher Pres.Museven

Anafurahia kuudhuria sherehe za wengine wakiachina madaraka, yeye yumo tu.
 
Labda huenda akajifunza hapo badae
 
Sio mara ya kwanza museven kuachia songi.
Kuna moja alipiga na jose chammilione
 
Anapunguza badjet za wasanii ili asitumie hela nyng
 
Back
Top Bottom