shaffih kwa mtu anayejua mambo ya soka ni mweupe anakopi habar za goal.com na yuko bias sana!jeff na kumwembe ndo wanachambua saf
Shafii ni sawa na Wanenguaji wa dansi,akiwa jukwaani anakata mauno mpaka raha lakini ukienda nae kitandani,zero.
Pengine nae akikaa studioni ni muongeaji sana,lakini akibananishwa engo fulani,zero.
kweli wewe ndio soka hujui kabisa yani kumwembe nae ni mchambuzi mahiri?anaeandika vijinakala kwa kuangalia mindset za watu 'zilipolalia' shame upon him!!!
shaffih anaweza ttz vyama vyetu vya michezo vina ubabaishaji mwingi hawataki watu wa kweli!namshaur brother shaffih abakie kwny uchambuz tu maswala ya uongoz awachie wenyewe wanaojiita watu wa "mpira"
shaffih kwa mtu anayejua mambo ya soka ni mweupe anakopi habar za goal.com na yuko bias sana!jeff na kumwembe ndo wanachambua saf
shafii anajua kuchambua wacheza mpira na matukio yanayotokea kwenye soka kwa msaada wa google,mfano messi ana goli ngapi,rvp mshahara wake umeongezeka kiasi gani,guardiola na demu wake wanapenda kulala hotel gani....ukimpa azichambue dakika tisini za mchezo on the spot,lazima abanwe na haja.
Shafii ni sawa na Wanenguaji wa dansi,akiwa jukwaani anakata mauno mpaka raha lakini ukienda nae kitandani,zero.
Pengine nae akikaa studioni ni muongeaji sana,lakini akibananishwa engo fulani,zero.
Khah mwe