Lukolo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 5,143
- 3,199
Jamani, nimeona tangazo somewhere kwamba maombi kwa ajili ya kujiunga na vyuo vikuu yameshaanza kutumwa kupitia kwenye website ya TCU. Lakini kinachonishangaza ni kwamba ni kama wiki sasa hiyo website ya TCU ipo offline. Tafadhari tujulisheni; je ni kweli kwamba maombi yameanza kutumwa? Na kama ni kweli sasa yanatumwa kwa njia ipi ilihali website yao ipo offline?
Na kingine, bodi ya mikopo nayo kulikoni? Je ni kweli kwamba application za mikopo zimeanza? Mbona sioni tangazo lolote wala directives za aina yoyote juu ya applications kwenye website yao? Ni nini maana ya kuwa na hizi website kama hazitumiki kutangaza mambo mhimu kama haya ambayo ndiyo msingi wa uwepo wa hizi taasisi?
Na kingine, bodi ya mikopo nayo kulikoni? Je ni kweli kwamba application za mikopo zimeanza? Mbona sioni tangazo lolote wala directives za aina yoyote juu ya applications kwenye website yao? Ni nini maana ya kuwa na hizi website kama hazitumiki kutangaza mambo mhimu kama haya ambayo ndiyo msingi wa uwepo wa hizi taasisi?