Kwani wanaocheza mpira wanalipwa mapumbu??? Acha excuse zisizo na kichwa. Tunataka tupate shida ilipo ili wajikwamie kisoka watengeneze mkwanja zaidiWachaga hawawezi kuacha kutafuta hela na kwenda kudili na mipira
Umeona uzi unetaja mikoa gani mkuu?Tanga coast union nayo ni ya kusini
Nimeona kanda ya kaskazini mkuu au wewe hujaonaUmeona uzi unetaja mikoa gani mkuu?
Hebu tuambie Shinyanga wana timu VPL nadhani. Wameshatengeneza mkwanja kiasi gani hadi sasa? Kuna economic impact yoyote kwa uchumi wa Shinyanga kutokana na kuwepo hiyo timu? Maana Dar kuna Simba na Yanga lakini hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kulogana kila wakikutana na kuweka kambi Pemba ili wajizindikeKwani wanaocheza mpira wanalipwa mapumbu??? Acha excuse zisizo na kichwa. Tunataka tupate shida ilipo ili wajikwamie kisoka watengeneze mkwanja zaidi
Fursa za kiuchumi zipo aisee labda kama tutakua wavivu wa kufikiri ndo hatutaziona.Hebu tuambie Shinyanga wana timu VPL nadhani. Wameshatengeneza mkwanja kiasi gani hadi sasa? Kuna economic impact yoyote kwa uchumi wa Shinyanga kutokana na kuwepo hiyo timu? Maana Dar kuna Simba na Yanga lakini hamna cha maana wanachofanya zaidi ya kulogana kila wakikutana na kuweka kambi Pemba ili wajizindike
Ndo maana sijaitaja kwenye mabano so mikoa tajwa inabidi iige mfano wa coastal union ya Tanga. Hongera kwa viongozi wa Tanga wakiongozwa na Mh. Waziri Ummy mwalimu kwa juhudi walizofanya. Wameona mbali. Njombe mji wanachezea mechi za ligi kwenye uwanja wa shule hivo ni aibu kwa mikoa mikongwe kama Arusha na Moshi kukosa timu ligi kuu.Tanga coast union nayo ni ya kusini
Sio kwa mpira huu wa kibongoFursa za kiuchumi zipo aisee labda kama tutakua wavivu wa kufikiri ndo hatutaziona.
Umeamua kutoziona hizo fursa so siwez kukulazimisha.Sio kwa mpira huu wa kibongo
Mzee mpira nao ni hela!! Kwa ufupi utafutaji pesa kwa kutumia mpira mchaga ameachwa mbaaaaaaaaali sana.Wachaga hawawezi kuacha kutafuta hela na kwenda kudili na mipira
Singida utd hakuna hata mchezaji mmoja mzawa wa singidaKaskazini ipo vizuri zaidi katika Sanaa.
Mpira siyo kipaumbele kikubwa sana kwao. Si unajua hata China haina Ligi kuu katika Ulimwengu wa soka?. Labda kwa sasa ambapo soka ni issue sana.
Hakuna ulazima wa sote kuwa wanasoka. Wanaocheza wanatosheleza, Labda mpaka matokeo chanya yaonekane. Si unajua Kaskazini wapo kimkakati zaidi?.
Lakini zaidi sana tunahitaji Wahasibu wabobezi, Madaktari bingwa, Wahandisi makini, Wanasheria hodari na orodha inaendelea..Wanasoka ni wengi mno Nchini.
Kwani singida utd kuna mchezaji wa kutoka singida muleVijana huku kumkuta anavaa jezi kila jioni kwenda uwanjani ni mbinde hizo mambo nimeona tanga sio Kilimanjaro